Libori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Paderborn, Ujerumani.

Libori (mwanzoni mwa karne ya 4 - Le Mans, leo nchini Ufaransa, 397 hivi) alikuwa askofu wa 4 wa mji huo kwa miaka 49 kuanzia mwaka 348[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.