Le Rendez-Vous Des Stades

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Le Rendez-Vous Des Stades
Le Rendez-Vous Des Stades Cover
Studio album ya Kanda Bongo Man
Imetolewa 1993
Aina Soukous, muziki wa dansi
Mtayarishaji Kanda Bongo Man


"Le Rendez-Vous Des Stades" ni jina la albamu kutoka kwa msanii wa muziki wa dansi na soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kanda Bongo Man. Albamu imetoka mwaka wa 1993. Nyimbo kali zilizotamba kutoka katika albamu ni pamoja na Bili, Sana, Muchata na Yonde.

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

Na. Jina la wimbo Dakika
1. Sana ?
2. Muchata (Zook Love ?
3. Wahito ?
4. Bili ?
5. Nzambe ?
6. Tokei ?
7. Yonde ?

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]