Zing Zong

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Zing Zong
Zing Zong Cover
Studio album ya Kanda Bongo Man
Imetolewa 1991
Aina Soukous, muziki wa dansi
Mtayarishaji Kanda Bongo Man
Wendo wa albamu za Kanda Bongo Man
Isambe Monie
(1990)
Zing Zong
(1991)
Sango
(1992)


"Zing Zong" ni jina la albamu ya saba kutoka kwa msanii wa muziki wa dansi na soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kanda Bongo Man. Albamu imetoka mwaka wa 1991. Nyimbo kali zilizotamba kutoka katika albamu ni pamoja na Isambe, Wallow na Monie.

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

Na. Jina la wimbo Dakika
1. Zing-Zong 4:55
2. Isambe 5:51
3. Mosali 4:53
4. Wallow 4:56
5. Monie 4:48
6. Yonde Love Me 4:45
7. Yesu Christu 5:15
8. Freres Soki 4:50
9. Kadhi 5:20

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]