Nenda kwa yaliyomo

Lameck Aguta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lameck Aguta
Amezaliwa 10 Oktoba 1971
Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Kazi yake Mbio za riadha

Lameck Aguta (alizaliwa 10 Oktoba 1971)[1] ni mstaafu wa mbio za riadha nchini Kenya. Alikuwa mshindi wa Marathoni ya Boston ya 101 mnamo mwaka 1997 kwa muda wa saa 2:10:34. Alishiriki pia katika mbio za marathon za wanaume kwenye Olimpiki ya miaka ya 1996. [2]

Rekodi ya wakati bora zaidi wa Aguta katika mbio zozote za marathoni ni masaa 2:10:03, zilizohifadhiwa katika mbio za marathoni za Boston za mwaka 1996. Alimaliza nafasi ya nne katika mbio hizo, ambazo zilikuwa mbio za 100 za mbio za marathoni Boston .Rekodi ya wakati wake bora zaidi katika nusu marathon ni saa 1:00:55 katika Mashindano ya Dunia ya Nusu Marathoni ya 1992 huko South Shields, Uingereza.

Mafanikio

[hariri | hariri chanzo]
Mwaka Mashindano Uwanja Nafasi Shindano Vidokezo
Kuwakilisha Kenya Bendera ya Kenya Kenya
1992 World Half Marathon Championships Newcastle, United Kingdom 4 Nusu Marathoni 1:00:55
1994 Boston Marathon Boston, United States 14 Marathoni 2:11:19
1994 Commonwealth Games Victoria, Canada 1 10,000 m 28:38.22
1994 Berlin Marathon Berlin, Germany 4 Marathoni 2:10:41
1995 Boston Marathon Boston, United states 4 Marathoni 2:11:03
1996 Boston Marathon Boston, United States 4 Marathoni 2:10:03
1996 Olympic Games Atlanta, United States 52 Marathoni 2:22:04
1997 Boston Marathon Boston, United States 1 Marathoni 2:10:34
  1. "Olympedia – Lameck Aguta". www.olympedia.org. Iliwekwa mnamo 2025-07-09.
  2. https://web.archive.org/web/20200418080337/https://www.sports-reference.com/olympics/athletes/ag/lameck-aguta-1.html
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lameck Aguta kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.