Kundi la Sameer
Mandhari

Kundi la Sameer ni kundi kubwa la kampuni za Afrika zilizo na makao yao nchini Kenya. Sameer imejihusisha na ukulima,sekta ya viwanda,teknolojia, ujenzi ,usafiri na fedha. Ofisi za kampuni hii zinapatikana mjini Nairobi na imeorodheshwa katika Soko la Hisa la Nairobi.
Kampuni shirika
[hariri | hariri chanzo]Machi 2007: Kampuni shirika za Kundi la Sameer ni:
- Benki ya Equatorial Commercial
- Sasini [1]
- Dimension Data [2]
- Swift Global Kenya [3] Ilihifadhiwa 11 Januari 2016 kwenye Wayback Machine.
- Kenya Data Networks [4] Ilihifadhiwa 18 Desemba 2009 kwenye Wayback Machine.
- Ryce East Africa
- Yansam Motors
- Celtel Kenya/Celtel [5]
- Sameer Africa [6] Ilihifadhiwa 3 Septemba 2011 kwenye Wayback Machine. - waundaji wa gurudumu - walikuwa wanaitwaa Firestone East Africa
- H Young [7] - uhandisi na ujenzi
- Eveready East Africa
- Sameer Industrial Park
- Ryce East Africa - Sekta ya uhandisi.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti rasmi ya Kundi la Sameer Ilihifadhiwa 31 Agosti 2009 kwenye Wayback Machine.
- Orodha ya kampuni husika-tovuti ya Kundi la Sameer Ilihifadhiwa 16 Julai 2011 kwenye Wayback Machine.