Kumbukizi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya kumbukizi inaitwa DDR2 Juu ya bodimama ya DDR.

Kumbukizi (kutoka kitenzi "kukumbuka") ni adhimisho lenye lengo la kufanya ukumbusho wa mtu au tukio muhimu fulani.

Katika utarakilishi, kumbukizi (kwa Kiingereza: memory au computer memory) ni kifaa kinachotumika kutunzia data ili tarakilishi au mashine nyingine za kielektroniki zizitumie mara.

Kwa mfano, KUSOTU au kumbukizi mweka ni aina ya kumbukizi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.