Nenda kwa yaliyomo

Kigezo:Je wajua/1

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mitazamo iliyopo

[hariri chanzo]

Kutoka kwenye mkusanyiko wa makala za Wikipedia:

Waziri Mkuu wa sasa Keir Starmer

  • ... kwamba Waziri Mkuu wa Uingereza ni nafasi ya juu katika nchi inaongoza kwa kujiuzulu mara kwa mara?
  • ... kwamba José Mujica ni rais maskini zaidi duniani? Alikuwa rais wa Uruguay kati ya 2010 hadi 2015.
  • ... kwamba Septemba 1752 ilikosa siku kumi na moja? Katika Dola la Uingereza, ulikuwa mwaka pekee wenye siku 355, kwani Septemba 3-13 zilirukwa wakati Dola lilipopitisha kalenda ya Gregori.
  • ... kwamba Samia Hassan Suluhu ni rais wa kwanza mwanamke Afrika ya Mashariki? Aliapishwa kuwa rais mara baada ya kifo cha mtangulizi wake, John Pombe Magufuli.