Kastuli, Modesti na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kastuli, Modesti na wenzao arubaini au hamsini hivi, wakiwemo Rogato na Zotiko, (walifariki 309 hivi) ni kati ya Wakristo wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao[1].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 12 Januari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.