Kaisari Nero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya marumaru ya Nero katika Musei Capitolini, Roma, Italia.

Kaisari Nero (jina kamili kwa Kilatini: Nero Claudius Caesar Augustus Germanicus[1]: 15 Desemba 37 - 9 Juni 68) alijiua baada ya kutawala Dola la Roma kuanzia tarehe 13 Oktoba 54.

Alimfuata Kaisari Klaudio akafuatwa na Kaisari Galba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. In Classical Latin, Nero's name would be inscribed as NERO CLAVDIVS CAESAR AVGVSTVS GERMANICVS.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo vikuu

Vyanzo vingine

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kaisari Nero kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.