Jurawa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jurawa
Jurawa kaskazi (Passer griseus)
Jurawa kaskazi (Passer griseus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Passeroidea
Familia: Passeridae (Ndege walio na mnasaba na shomoro)
Jenasi: Passer (Shomoro na jurawa)
Brisson, 1760
Ngazi za chini

Spishi 5:

Jurawa ni spishi mbalimbali za ndege wadogo za jenasi Passer katika familia Passeridae ambao wanafanana na shomoro wenye kichwa kijivu. Ndege hawa wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu, lakini hula wadudu wadogo pia hasa wanapokuwa makinda. Spishi hizi zinatokea Afrika tu.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]