Jumaa Hamidu Aweso
Jumaa Hamidu Aweso (amezaliwa 22 Machi 1985) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM).
Amechaguliwa kuwa mbunge wa Pangani kwa miaka 2015 – 2020. [1] Akarudishwa kwenye bunge mwaka 2020 bila uchaguzi akiwa mgombea pekee katika jimbo la Pangani akawa waziri wa maji na umwagiliaji.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
- ↑ "A mixed bag for Magufuli cabinet list". The Citizen (kwa Kiingereza). 6 December 2020. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-12-07. Iliwekwa mnamo 2020-12-23. More than one of
|accessdate=
na|access-date=
specified (help); Check date values in:|date=
(help)
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |