Jose Fonte

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jose Fonte

Jose Fonte (alizaliwa tarehe 22 Desemba mwaka 1983) ni mchezaji wa soka wa Kireno ambaye anacheza kama kituo cha nyuma/beki wa klabu ya Ufaransa iitwayo Lille OSC na timu ya taifa ya Ureno.

Alianza kazi yake ya kitaaluma na Sporting C.P. "B", akienda Uingereza na kuchezea klabu ya Crystal Palace mwaka 2007. Mwaka 2010 alijiunga na Southampton, ambapo alifanya maonyesho 288 katika mashindano yote, mpaka alipojiunga na West Ham mwezi Januari 2017.

Timu ya taifa Ureno alianza kuchezea tangu akiwa na umri wa miaka 30, Fonte alikuwa sehemu ya kikosi katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 na Euro mwaka 2016 na kushinda mashindano hayo.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jose Fonte kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.