Jongezo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya jongezo.

Katika uchapaji na utarakilishi, jongezo (kwa Kiingereza: indent au indentation) ni nafasi tupu inayoachwa mwanzoni wa kifungu. Jongezo hutumika sana katika lugha za programu kama Python, Javascript au Ruby.

Mfano wa jongezo[hariri | hariri chanzo]

Kifungu bila jongezo :

Wakazi wa Lamu waelekea kutoka
upande mmoja wa kisiwa hadi mwingine
kwa miguu, kwa kuwa hakuna magari ya
kusafiria kisiwani.

Kifungu chenye jongezo :

    Wakazi wa Lamu waelekea kutoka 
upande mmoja wa kisiwa hadi mwingine
kwa miguu, kwa kuwa hakuna magari ya
kusafiria kisiwani.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)