Ruby

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ruby
Ruby logo
Shina la studio namna :namna nyingi
Imeanzishwa Desemba 21 1995 (1995-12-21) (umri 28)
Mwanzilishi Yukihiro Matsumoto
Ilivyo sasa Ilivutwa na: Ada, C++, CLU, Dylan, Eiffel, Lisp, Lua, Perl, Python, Smalltalk, Basic

Ilivuta: Clojure, CoffeeScript, Crystal, D, Elixir, Groovy, Ioke, Julia, Mirah, Nu, Ring, Rust, Swift

Mahala Yukihiro Matsumoto, et al.
Tovuti https://www.ruby-lang.org/en/

Ruby ni lugha ya programu. Iliundwa na Yukihiro Matsumoto na ilianzishwa tarehe 21 Desemba 1995. Iliundwa ili kurahisisha kujifunza lugha za programu. Leo tunatumia Ruby 2.7.0. Ilivutwa na Python.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Ilianzishwa 21 Desemba 1995 nchini Japani. Kisha kitabu cha kwanza kilichapishwa nchini Japani mwaka wa 1999; kiliitwa "Lugha ya programu Ruby inaozingatiwa kuhusu kipengee (オブジェクト指向スクリプト言語 Ruby).

Falsafa[hariri | hariri chanzo]

Namna ya Ruby ni namna nyingi kama lugha za programu nyingi.

Sintaksia[hariri | hariri chanzo]

Sintaksia ya Ruby ni rahisi sana. Ilivutwa na sintaksia ya Pearl, lugha ya programu nyingine.

Mifano ya Ruby[hariri | hariri chanzo]

Programu kwa kuchapa « Jambo ulimwengu !».

$ irb
irb(main):001:0> puts 'Jambo, Ulimwengu'
Jambo, Ulimwengu

Programu kwa kuchapa orodha ya maneno.

array = [1, 'hi', 3.14]
array.each {|item| puts item }
# prints:
# 1
# 'hi'
# 3.14

Marejeo[hariri | hariri chanzo]