Joel Plaskett

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
William Joel MacDonald Plaskett

William Joel MacDonald Plaskett (alizaliwa 18 Aprili 1975) ni mwanamuziki wa rock kutoka Kanada na mtunzi wa nyimbo za Halifax na Nova Scotia. Alikuwa mwanachama wa bendi ya muziki wa rock kutoka Halifax mnamo mwaka 1990. Uandishi wa nyimbo wa Plaskett mara kwa mara una maneno ya jiji lake la nyumbani Halifax. ametembelea katika maeneo yote ya Amerika ya Kaskazini na Ulaya.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Duffy, Rob (May 22, 2012). "Concert Review: Joel Plaskett gets the crowd moving in Toronto". The National Post. Don Mills, Ontario: Postmedia Network Inc. Iliwekwa mnamo June 1, 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Joel Plaskett’s new album is a veritable kitchen party". The Globe and Mail, March 13, 2015.
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Joel Plaskett kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.