Jitu Vrajlal Soni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jitu Vrajlal Soni (amezaliwa tar. 2 Julai 1969) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Babati Vijijini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017