Jesús Arturo Esparza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jesús Arturo Esparza mnamo 2017

Jesús Arturo Esparza (alizaliwa Agosti 1990)[1] ni mwanariadha wa mbio ndefu wa Mexico. Mwaka 2020, alishindana kwenye mbio za wanaume katika michuano ya riadha nusu marathoni duniani mwaka 2020 iliyofanyika Gdynia, Poland.[2]

Mwaka 2017 aliiwakilisha Meksiko kwenye mashindano ya 2017 Summer Universiade yaliyofanyika Taipei, Taiwan, katika tukio la nusu marathoni kwa wanaume.[3] Akamaliza akishinda nafasi ya 23.[3]

Alishindana marathoni ya wanaume kwenye olimpiki ya majira ya joto mwaka 2020 katika jiji la Tokyo, Japani.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]