Jembe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aina mbalimbali za majembe, Centro Etnográfico de Soutelo de Montes, Pontevedra, Hispania.
Jembe (Zambia)

Jembe (kwa Kiingereza "hoe") ni kifaa chenye matumizi mengi katika maisha ya kila siku. Hasa kinatumika katika kilimo, ili kuchimbia mashimo kwa nia ya kupanda mbegu, lakini pia kupalilia shamba.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Evans, Chris, “The Plantation Hoe: The Rise and Fall of an Atlantic Commodity, 1650–1850,” William and Mary Quarterly, (2012) 69#1 pp 71–100.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu: