Jembe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aina mbalimbali za majembe, Centro Etnográfico de Soutelo de Montes, Pontevedra, Hispania.
Jembe (Zambia)

Jembe (kwa Kiingereza "hoe") ni kifaa chenye matumizi mengi katika maisha ya kila siku. Hasa kinatumika katika kilimo, ili kuchimbia mashimo kwa nia ya kupanda mbegu, lakini pia kupalilia shamba.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Evans, Chris, “The Plantation Hoe: The Rise and Fall of an Atlantic Commodity, 1650–1850,” William and Mary Quarterly, (2012) 69#1 pp 71–100.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.