Ivan Santini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ivan Santini

Ivan Santini (alizaliwa Zadar, 21 Mei 1989) ni mchezaji wa soka wa Kroatia mwenye asili ya Italia ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Ubelgiji Anderlecht na timu ya taifa ya Kroatia.

Santini alicheza katika timu ya vijana wa mtaani kwake, mpaka wakati wa majira ya joto ya mwaka 2006, alipohamia Inter Zaprešić ambapo alisaini mkataba wake wa kwanza wa kitaaluma na alicheza na timu nne za kwanza, alifunga goli katika mechi hizo.

Msimu uliokuja, alihamia Red Bull ambako alitumia muda wa mwaka mmoja.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ivan Santini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

.