Itifaki ya Kidhibiti Peleshi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfululizo wa maendeleo ya IKP.

Katika utarakilishi, Itifaki ya Kidhibiti Peleshi (kifupi: IKP; kwa Kiingereza: Transmission Control Protocol au TCP) ni itifaki muhimu ya IKP/Itifaki ya Tovuti.

IKP inaruhusu upelekaji salama wa baiti.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).