Hassan Elias Masala
Mandhari
Hassan Elias Masala ni Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Jijini Mwanza. Na nimwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Aliwahi kuchaguliwa kuwa mbunge wa Nachingwea kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 25 Januari 2020 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Hassan Elias Masala kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |