Hassan Elias Masala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hassan Elias Masala ni Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Jijini Mwanza. Na nimwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Aliwahi kuchaguliwa kuwa mbunge wa Nachingwea kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Archived 25 Januari 2020 at the Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017