Gladys Amfobea
Mandhari
| Gladys Amfobea | |
| Nchi | Ghana |
|---|---|
| Kazi yake | mwana soka |
Gladys Amfobea (alizaliwa 1 Julai 1998) ni mwanasoka wa kimataifa wa nchini Ghana ambaye anacheza kama beki kwenye timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya Ghana.
Aliichezea timu ya taifa ya Ghana kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake mnamo mwaka 2018 na kufunga bao moja katika mechi tatu alizocheza[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "G. Amfobea". Soccerway. Perform Group. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-05-14. Iliwekwa mnamo 16 Juni 2019.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Gladys Amfobea kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |