Nenda kwa yaliyomo

Gideon Ndambuki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gideon Musyoka Ndambuki (alizaliwa 1947) ni mwanasiasa wa Kenya. Amekuwa mbunge wa eneo bunge la Kaiti tangu 1997 wakati eneo hilo lilipoanzishwa, na alikuwa waziri kati ya 1998 na 2002.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamentarians in Kenya 1944–2007 Archived Oktoba 28, 2008, at the Wayback Machine