Fresno, California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Fresno, California








Jiji la Fresno

Bendera
Nchi Marekani
Jimbo California
Wilaya Fresno
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 500,017
Tovuti:  www.fresno.gov

Fresno ni mji wa tano kwa ukubwa katika California. Eneo lake ni 271.4 km² kuna wakazi 500,017 (2007). Mji upo m 90 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Fresno ni kati ya California baina ya Los Angeles na San Francisco.

Mji uliundwa mwaka 1856. Jina la kwanza la mji lilikuwa Millerton.

Jina la Fresno ni ya Kihispania, maana yake ni mti wa ash.


Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Fresno, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.