Filaca

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Filaca ulikuwa ni mji wa kale katika jimbo la kirumi la Africa proconsularis, lililokuwepo katika eneo la Sahel la Tunisia. Filaca iliwahi kuwa makao ya kanisa kuu la dayosisi ya kale ya kanisa katoliki.


Marejeo[hariri | hariri chanzo]