Felicia Eze

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Felicia Eze
Amezaliwa 27 Septemba 1974
Nigeria
Amekufa 31 Januari 2012
Jimbo la Anambra
Nchi Nigeria
Kazi yake Mchezaji wa mpira wa miguu

Felicia Eze (27 Septemba 1974 - 31 Januari 2012) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria. Alishiriki na timu ya wanawake ya Nigeria katika michezo ya Olimpiki ya mwaka 2004. Eze alifariki tarehe 31 Januari 2012 katika Jimbo la Anambra akiwa na umri wa miaka 37.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. NFF mourns Eze, condoles Egyptian FA. kickoff.com. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-06-17. Iliwekwa mnamo 7 February 2012.
  2. Super Falcons Star Dies. vanguardngr.com. Iliwekwa mnamo 7 February 2012.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Felicia Eze kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.