Familia ya Jakaya Kikwete
Familia ya Jakaya Kikwete ni jina la kutaja familia ya Rais wa awamu ya 4 wa Tanzania . Huhesabiwa kama Familia ya Kwanza ya Tanzania.[1]
Familia[hariri | hariri chanzo]
Ndoa[hariri | hariri chanzo]
Kikwete alimwoa Bi. Salma Kikwete mnamo 1989.[2] Hii ni ndoa yake ya pili baada ile ya kwanza ya mamake na Ridhiwani Kikwete.
Watoto[hariri | hariri chanzo]
- Ridhiwani
- Salama
- Miraj
- Ally
- Khalifa
- MwanaAsha
- Khalfan
- Rashid
- Mohamed
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mtobwa, Ben R. (2005). Kikwete: safari ya Ikulu. Page 26, Heko Publishers. Iliwekwa mnamo 16 September 2013. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "President Kikwete celebrates 20th Wedding Anniversary". Ikulu. 31 March 2009. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 16 September 2013. Iliwekwa mnamo 16 September 2013. More than one of
|archiveurl=
na|archive-url=
specified (help); More than one of|archivedate=
na|archive-date=
specified (help); Check date values in:|date=, |archivedate=, |accessdate=
(help)