Elias Canetti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Elias Canetti.
Kaburi la Elias Canetti.

Elias Canetti (25 Julai 190514 Agosti 1994) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Bulgaria. Baadaye aliishi nchini Uingereza.

Aliandika riwaya na pia tamthiliya; maandishi yake yote yalikuwa katika lugha ya Kijerumani. Mwaka wa 1981 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Tuzo na Heshima[hariri | hariri chanzo]

  • Prix International (France, 1949)
  • Grand Austrian State Prize|Grand Austrian State Prize for Literature (1967)
  • Literature Award of the Bavarian Academy of the Fine Arts (1969)
  • Austrian Decoration for Science and Art (1972)[1]
  • Georg Büchner Prize(German Academy for Language and Literature, 1972)
  • German recording prize, for reading "Ohrenzeuge" (Deutscher Schallplattenpreis) (1975)
  • Nelly Sachs Prize (1975)
  • Gottfried-Keller-Preis (1977)
  • Pour le Mérite (1979)
  • Johann-Peter-Hebel-Preis (Baden-Württemberg, 1980)
  • Nobel Prize in Literature (1981)
  • Franz Kafka Prize[2] (1981)


Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

{{{reflist}}}

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Elias Canetti kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Elias Canetti kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. Reply to a parliamentary question (German). Iliwekwa mnamo 19 October 2012.
  2. Hanser Verlag author page. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-11-12. Iliwekwa mnamo 12 November 2013.