Deo Munishi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Deogratius Munishi (alizaliwa Mwanza, 16 Agosti 1990) ni mchezaji wa mpira wa miguu anayecheza nafasi ya golikipa katika timu inayoshiriki ligi kuu ya Tanzania ambayo ni Namungo F.C.

Timu alizowahi kuchezea[hariri | hariri chanzo]

Simba S.C. - 2009-2011

Azam F.C. - 2011-2013

Yanga Sc - 2013-

Namungo F.C. - hadi sasa

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Deo Munishi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.