Dario Tamburrano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dario Tamburrano

Dario Tamburrano (amezaliwa Roma, 27 Agosti 1969) ni mwanaharakati wa mazingira wa Italia na mmoja wa wanachama wa kwanza wa Vuguvugu la Nyota Tano ( Movimento Cinque Stelle, M5S ) aliyechaguliwa katika Bunge la Ulaya.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Roma tarehe 27 Agosti 1969, alihitimu kutoka Shule ya Upili ya "Amedeo Avogadro" na alama kamili (60/60). Alisomea Udaktari wa Meno na Usanifu wa Meno katika Chuo Kikuu cha Sapienza cha Rome na kuhitimu mwaka wa 1996 kwa heshima ya juu zaidi akiwasilisha thesis ya "Udhibiti wa Meno wa Mtoto wa VVU+". [1] Archived 28 Oktoba 2014 at the Wayback Machine. Tangu 1996, anafanya kazi huko Roma kama daktari wa meno anayejitegemea aliyebobea katika endodontics, laser dentistry, implant prosthetics na aesthetics meno. Katika taaluma yake, anathamini uhusiano wa kibinadamu na wagonjwa. Kama mwanamazingira, alikuwa mmoja wa mwanachama wa kwanza wa Meetup (tovuti), inayohusiana na Beppe Grillo na Vuguvugu la Nyota Tano (Movimento Cinque Stelle, M5S).

Mnamo Mei 2014, alichaguliwa kuwa mbunge wa Bunge la Ulaya (MEP) kwa Vuguvugu la Nyota Tano (Movimento Cinque Stelle, M5S).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dario Tamburrano kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.