Daraja la Samora Machel
Mandhari
| Daraja la Samora Machel English: Samora Machel Bridge Kireno: Ponte Samora Machel | |
|---|---|
| Majina mengine | Daraja la Tete |
| Yabeba | Barabara ya A103 |
| Yavuka | Mto Zambezi |
| Mahali | Tete na Moatize |
| Msanifu majengo | Edgar Cardoso |
| Aina ya daraja | Suspension bridge |
| Urefu | mita 762 |
| Idadi ya nguzo | 5 |
| Yafuatiwa na | Daraja la Dona Ana |
| Anwani ya kijiografia | 16°09′18″S 33°35′37″E / 16.15500°S 33.59361°E |
Daraja la Samora Machel ni daraja linalovuka Mto Zambezi nchini Msumbiji.
| Makala hii kuhusu daraja barani Afrika bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |