Dagmar Damková
Mandhari

Dagmar Damková (alizaliwa 29 Desemba 1974) alikua mwamuzi wa mpira wa miguu wa jamhuri ya Ucheki, pia alikua mwenyekiti wa kamati ya waamuzi ya FAČR, [1] [2] mjumbe wa kamati ya utendaji ya FAČR, mwenyekiti wa kamati ya soka la Wanawake wa Ucheki, [3] mjumbe wa kamati ya waamuzi ya UEFA [4] na mjumbe wa kamati ya waamuzi ya FIFA . [5]
Maisha ya awali
[hariri | hariri chanzo]Alihitimu katika fakati ya elimu katika Chuo Kikuu cha West Bohemia na shahada ya lugha ya Kiingereza. [6]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Damková bude novou šéfkou komise rozhodčích. Macela končí" (kwa Kicheki). ihned.cz. 5 Septemba 2011. Iliwekwa mnamo 3 Septemba 2015.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Nečekaný konec. Damková už není šéfkou komise rozhodčích" (kwa Kicheki). sport.cz. 31 Machi 2016. Iliwekwa mnamo 31 Machi 2016.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Poněkud rušné léto Dagmar Damkové" (kwa Kicheki). denik.cz. 8 Agosti 2009. Iliwekwa mnamo 3 Septemba 2015.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "ROZHODČÍ: Dagmar Damková udržela post v UEFA. V komisi sudích bude další 4 roky" (kwa Kicheki). jenprofotbal.cz. 6 Julai 2015. Iliwekwa mnamo 3 Septemba 2015.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Damkovou zvolili do komise rozhodčích FIFA. Obrovská čest, říká" (kwa Kicheki). idnes.cz. 19 Januari 2017. Iliwekwa mnamo 19 Januari 2017.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Přijďte si poslechnout růži mezi trny" (kwa Kicheki). zcu.cz. 12 Novemba 2012. Iliwekwa mnamo 4 Septemba 2015.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dagmar Damková kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |