Nenda kwa yaliyomo

Chuo Kikuu cha Ouagadougou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chuo Kikuu cha Ouagadougou ni chuo kikuu kilichopo Ouagadougou, Burkina Faso. kiliianzishwa mwaka1974, kilibadilishwa jina rasmi mwaka wa 2015 kama l'Université Ouaga 1 Professeur Ki-Zerbo.[1] UO ina Vitengo saba vya Mafunzo na Utafiti na taasisi moja. [2]Mwaka 2010 Chuo kikuu hicho kilikuwa na takriban wanafunzi 40,000.


Chuo Kikuu cha Ouagadougou kina Vitengo saba vya Mafunzo na Utafiti na taasisi moja: Lugha , Sanaa na Mawasiliano; Sayansi ya Binadamu; Sayansi ya Sheria na Siasa ; Sayansi ya Uchumi na Usimamizi ; Sayansi ya Afya na Taasisi ya Sanaa na Ufundi. Faida za kitivo ni mafundisho ya kimsingi na yale ya taasisi (utaalamu).[4]Mfumo unaotumika ni mfumo wa elimu wa msimu unaozingatia mikopo ya kitaaluma, ambayo inachanganya mafunzo ya kimsingi na ya kitaaluma.

  1. fi.fr/fr/afrique/20151227-burkina-faso-universite-ouagadougou-nom-professeur-ki-zerbo
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2006-05-03. Iliwekwa mnamo 2024-07-13.