Chérif Abdeslam

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chérif Abdeslam (alizaliwa 1 Septemba 1978 huko Hussein Dey, Algiers) ni mwanasoka mstaafu wa mpira wa miguu kutoka Algeria. Awali alichezea klabu ya IR Hussein Dey, NA Hussein Dey, JS Kabylie na USM Annaba.

Kazi Kitaifa[hariri | hariri chanzo]

Abdeslam amecheza mechi nane katika timu ya taifa ya Algeria na mechi ya kombe la dunia dhidi ya timu ya Uruguay mnamo Agosti 2009.

Heshima[hariri | hariri chanzo]

  • Alishinda Ligi ya Professionnelle ya Algeria mara mbili:
  1. Mara moja na JS Kabylie mnamo 2008.
  2. Mara moja na ASO Chlef mnamo 2011.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chérif Abdeslam kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.