Brian Chikwava

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Brian Chikwava baada ya kusoma huko NUI Maynooth.

Brian Chikwava, ni mwandishi na mwanamuziki wa nchini Zimbabwe . Hadithi yake fupi ya "Seventh Street Alchemy" alitunukiwa Tuzo ya Caine mnamo 2004 kama mwandishi bora wa Kiafrika kwa lugha ya Kiingereza na alikua Mzimbabwe wa kwanza kufanya hivyo.[1] Alikua na rafiki yake anayeitwa Charles Pick walipokua katika Chuo Kikuu cha East Anglia, na Charles Pick anaishi huko Londoni. Anaendelea na kazi yake nchini Uingereza na ametoa albamu yenye jina la Jacaranda Skits.[2]

Maisha ya nyuma[hariri | hariri chanzo]

Brian Chikwava alizaliwa huko Victoria Falls, Zimbabwe, mwaka 1971. Alienda shule ya bweni huko Bulawayo, na kuendelea kusomea uhandisi wa ujenzi katika Chuo Kikuu cha Bristol. [3] Aliishi London mwaka 2004.[4][5]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Previous winners, Caine Prize website.
  2. The Literator, Caine Prize for African Writing, The Independent, 22 July 2004.
  3. Olivia Laing, "'The book will be published in Zimbabwe ... no one will buy it': The novelist: Brian Chikwava", The Observer, 4 January 2009.
  4. Jean-Pierre Orban, "The long trek of Pidgin English in the Western publishing world", Africultures, 31 March 2010.
  5. "Brian Chikwava". World Literature Today (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Brian Chikwava kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.