Boeing F-15 Eagle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
F-15C kwa upande wa chini

Boeing F-15 Eagle ni ndege ya Marekani yenye injini mbili, yenye uwezo wa kupambana kwenye hali zote za hewa iliyotengenezwa na kampuni iitwayo McDonnell Douglas (sasa inajulikana kama Boeing) ya huko nchini Marekani.

Ndege hii imeundwa maalumu kwa ajili ya mapambano ya anga. Aina hii ya ndege ilichaguliwa na jeshi la Marekani itumike kama ndege yao ya vita mwaka 1967.

Pia imeendelea kutumika kama ndege ya kivita na nchi nyingine kama vile Israeli, Saudi Arabia n.k.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.