Bennefa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Afrika Proconsularis (125 BK)

Bennefa, maarufu kama Oglet-Khefifa ndani ya Tunisia ya sasa, [1] ulikuwa mji wa Jimbo la Kiroma la Byzacena. [2] na ulikuwa na askofu wa Kikristo. [3]

Jimbo la Bennefa lilitajwa na Agostino wa Hippo. [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Titular Episcopal See of Bennefa at GCatholic.org.
  2. Pius Bonifacius Gams, Series episcoporum Ecclesiae Catholicae, (Leipzig, 1931), p. 464
  3. Stefano Antonio Morcelli, Africa christiana, Volume I (Brescia, 1816), pp. 100–101.
  4. Bennefa sul sito dell'Associazione storico-culturale di Sant'Agostino.
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bennefa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Makala hii kuhusu maeneo ya Tunisia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bennefa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.