Basilisa wa Nikomedia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo kuhusu kifodini chake.

Basilisa wa Nikomedia (alifariki Nikomedia, leo Izmit nchini Uturuki, 309 hivi) alikuwa bikira Mkristo aliyefia dini yake katika dhuluma ya kaisari Diocletian [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Septemba[2] au 16 Septemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.