Ardani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ardani (alifariki 1056), alikuwa abati wa 13 wa Tournus, Burgundy, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 1028.

Wakati wa njaa iliyodumu miaka 1031-1033 alijitahidi kwa ukarimu mkubwa kusaidia fukara waliotaka kukata tamaa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 11 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.