Nenda kwa yaliyomo

Aptoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Aptoni upande wa mbele wa kanisa la Mt. Cybard.

Aptoni (alifariki Angouleme, Ufaransa wa leo, 566 hivi) alikuwa askofu wa tano[1] wa mji huo kuanzia mwaka 541 hivi [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Oktoba[3].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Duchesne, Fastes episcopaux, pp. 64 and 67.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/75360
  3. Martyrologium Romanum
  • De S. Aptonio episcopo et confessore Engolismensi, in Acta Sanctorum Octobris, vol. XI, Parigi-Roma 1870, pp. 885-888
  • Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, Paris 1910, pp. 64-69 e 135-137
  • Gérard Mathon, Aptonio, vescovo di Angoulême, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. II, col. 324
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.