Androniko wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Androniko wa Aleksandria (alifariki 16 Januari 623) alikuwa patriarki wa 37 wa Kanisa la Kikopti kuanzia mwaka 616 hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Décobert, Christian; Empereur, Jean-Yves (2002). Alexandrie médiévale. 2. Institut français d'archéologie orientale. ISBN 978-2-7247-0320-7.
  2. Holweck, F. G., A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co., 1924.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Meinardus, Otto F.A. (2002). Two Thousand Years of Coptic Christianity. American University in Cairo Press. ISBN 978-977-424-757-6.
  • Atiya, Aziz S. The Coptic Encyclopedia. New York: Macmillan Publishing Co., 1991. ISBN 0-02-897025-X

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.