Anatropia Lwehikila Theonest

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anatropia Lwehikila Theonest (amezaliwa tarehe 21 Januari 1983) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017