Almas Athuman Maige

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Almas Athuman Maige ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tabora Kaskazini kwa miaka 20152020. [1] Mwaka 2015-2018 alikuwa mwenyekiti msaidizi wa kamati ya upendeleo wa bunge, maadili na madaraka. Amehitimu Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania[2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.