Alfredi Mkuu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Alfredi Mkuu huko Winchester, kazi ya Hamo Thornycroft, 1899.

Alfredi Mkuu alikuwa mfalme wa Wessex (leo nchini Uingereza) tangu mwaka 871 hadi 899.

Kama kiongozi wa Waangli na Wasaksoni waliotawala nchi, alizuia isitekwe na Waviking akawa mfalme muhimu zaidi wa Britania. Ndiyo sababu alipewa heshima ya kuitwa "mkuu"[1].

Anaheshimiwa na baadhi ya madhehebu ya Ukristo kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake, 26 Oktoba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.