Alex Gashaza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Alex Raphael Gashaza)

Alex Raphael Gashaza ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ngara kwa miaka 20152020. [1] Miaka 2015-2018 alikuwa mwanachama wa kamati ya mahesabu ya serikali za mitaa.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.