Nenda kwa yaliyomo

Alex Gashaza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alex Raphael Gashaza ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ngara kwa miaka 20152020. Miaka 2015-2018 alikuwa mwanachama wa kamati ya mahesabu ya serikali za mitaa.[1][2][3][4][5]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.
  2. Bunge la Tanzania. "Hali ya Uchumi wa Taifa na Mpango wa Maendeleo 2019/20 – Hotuba ya Alex R. Gashaza (Ngara)". https://polis.parliament.go.tz/contributions/12202
  3. Bunge la Tanzania. "Swali kuhusu wachimbaji wadogo wa madini Kijiji Magamba, Ngara – Alex R. Gashaza". https://www.parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1510754052-11%20SEPTEMBER%202017.pdf Ilihifadhiwa 15 Julai 2025 kwenye Wayback Machine.
  4. Bunge la Tanzania. "Uboreshaji wa vituo vya afya Ngara – Mhe. Alex R. Gashaza". https://polis.parliament.go.tz/uploads/documents/1589799700-24%20APRILI%2C%202020.pdf
  5. Mwananchi. "Wawekezaji waheshimiwe – Kauli ya Alex Gashaza (Ngara)". https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/-wawekezaji-waheshimiwe--2815248
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alex Gashaza kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.