Nenda kwa yaliyomo

Ahmed Abass

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ahmed Ibrahim Abass ni mwanasiasa wa Kenya na mbunge wa bunge la 11 la Kenya kutoka eneo bunge la Ijara katika kaunti ya Garissa.[1][2][3][4]

Alichaguliwa kuwa mbunge kwa tiketi ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kwa kuungwa mkono na muungano wa CORD mnamo 2013 na alihudumu katika [5]kamati ya bunge kuhusu kazi za umma, barabara na uchukuzi.

  1. Gachie, Laban Thua (2016-04-30). "Ahmed Ibrahim Abass - Biography, MP Ijara, Garissa, Wife, Family". Kenyan Life (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
  2. "Boni Forest operation will hurt economic lifeline of pastoralists, says Ijara MP". Nation (kwa Kiingereza). 2020-06-29. Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
  3. Astariko, Stephen. "Garissa Speaker Abass confident of winning Ijara MP seat". The Star (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
  4. Hajir, Abdimalik Ismail. "Garissa MCAs file motion to remove speaker Ahmed Ibrahim Abass". The Standard (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
  5. "Abass, Ahmed Ibrahim | The Kenyan Parliament Website". www.parliament.go.ke. Iliwekwa mnamo 2023-11-20.