Agounit

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Agounit (pia inajulikana kama Aghouinite, Aghounit, Aghoueinit, Agueinit, Agwenit, Agwanit, Agüenit, Aguanit) ni mji mdogo au kijiji katika eneo la Río de Oro, eneo lenye mabishano ya Sahara Magharibi. Inadaiwa na Moroko, lakini upo mashariki mwa Ukuta wa Moroko, na kwa hiyo imejumuishwa na Polisario katika eneo huru la Sahara Magharibi, chini ya mamlaka ya Jamhuri ya Sahrawi, na karibu na mpaka wa Mauritania, km 72 kusini magharibi kwa Fderik.

Wakati wa sensa ya 2004, wilaya ilikuwa na idadi ya watu 222 wanaoishi katika kaya 43.[1]

Ina hospitali, shule na msikiti. Ni mji mkuu wa mkoa wa 7 wa kijeshi wa Sahrawi Arab Republic Democratic.

Pia ni jina la daïra wa Wilaya ya Auserd, katika kambi za wakimbizi za Sahrawi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Recensement général de la population et de l'habitat de 2004". Haut-commissariat au Plan, Lavieeco.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 23 April 2012. Iliwekwa mnamo 11 June 2012.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)