Agatho wa Aleksandria (patriarki)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Agatho wa Aleksandria (alifariki 26 Oktoba 680) alikuwa patriarki wa 39 wa Kanisa la Kikopti kati ya miaka 661/662 na 677/680.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.