Adelfo wa Metz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Adelfo.

Adelfo wa Metz (aliishi katika karne ya 5) alikuwa askofu wa kumi[1] wa mji huo (leo nchini Ufaransa)[2][3] · [4].

Papa Leo IX alimtangaza mtakatifu tarehe 3 Desemba 1049.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Agosti[5][6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Le Diocèse de Metz, sous la direction de Henri Tribout de Morembert, Letouzey & Ané, Paris, 1970.
  • Monique Goullet, La Vie d'Adelphe de Metz par Werinharius : une réécriture polémique ?, paru dans : Scribere gesta sanctorum. Recueil d'études d'hagiographie médiévale offert à Guy Philippart, Turnhout, 2005 (Brepols), p.|451-476.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.